mmmmmh,to some % mtatulaumu ila 50 by 50,hata wanaume mnachangia sana swala hili kufikia hapa lilipo, so wenye ndoa wazungumze juu ya swala hili ili kusolve matatizo km haya
pole sana ndugu,ni vema akajisafisha vizuri kila mara kwa ndani kadri inavyowezekana,anaweza kujikuta anaugua fungus au hata kupata some of infections ambazo ni hatari xanaaaaaaaaaa hata kw baadae km kupoteza uzazi alionao,ikishindikana ni bora kumuona doctor wa magonjwa ya kike ukiwa nae kw...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.