Recent content by Kitagata

  1. Kitagata

    Nilipopoteza uwezo wangu wa kimiujiza

    Yesu azidi kutupa Neema ya kupambanua maono na kukataa matamanio ya mwili au matamanio yanayoua vipawa ndani yetu. Ninakushauri fanya sara ya toba ikifungamana na mafungo hata maandiko matakatifu yanasema hakuna maombi yenye nguvu kama yanayoambatana na mafungo. Mungu akupe ukombozi mpya
  2. Kitagata

    Plot4Sale Nauza viwanja vya Makazi

    Habari wakuu hivi ni Viwanja viko Mlandizi Ruvu darajani nyuma ya shule ya msingi ruvu darajani umbali 300m tu kutoka barabara kuu ya morogoro Road ni vizuri sana kwa makazi vinauzwa 2,500,000/= tu vyote kwa mawasiliano zaid piga simu 0626563480
Back
Top Bottom