Anakufanya wa akiba anae mtu anamsikilizia huyo akizingua nafasi utapewa wewe..ndo maana yupo kati kwa kati na ndo maana itachukua muda kkukubali na utakuta uyo men wake bado anashikilia kombe ataki kuachia
Nilioa na kipato changu akikua kikubwa nilinunua mtungi mdogo wa gesi unga kilo tano kwa weak mbili na kwa siku naacha elfu 5 tukimiss wali tunanunua mchele kiasi chake na maisha yalienda poa nikatafuta kiwanja na nikajenga japo aijaisha ila nina kwangu...kuhusu kodi majukumu kuzidi aangalie tu...
Mama yangu aliwai niunguza mdomo na kijiko cha moto mdomoni sababu kubwa nilitukana...na nilikoma na alikua ananibutua sababu tofaut nikichelewa kurudi nyumbani sijakula nyumbani nimekaidi nilichotumwa hakuna onyo kubwa ni kupigwa tu...na mwanangu atapitia haya niliopitia mimi yakaniweka kwenye...
Muoe uyo baba uyo ndo mwenyewe..zamaradi ni mdogo lakini ana watoto wanne...uyo ana watano ukiongeza wako watatu chap chap mnakaa kwenye mstari iyo ndo njia ya utajiri bro
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.