Kiukweli kama unahitaji usafiri kwa ajili ya kufika na kurejea mahala aheri ufanye subira aidha kwa kuendelea kudunduliza uweze kujazia hiyo pesa walau ufikishe 5m utafute Passo yako iliyonyooka au Vitz, ama uamue kuchukua bodaboda yako kama TVS, Boxer au nyinginezo uweze kusogeza siku mpaka...
Amejaribu kukuonesha yeye ni mkongwe kiasi gani katika pikipiki. Sio kila anaeendesha pikipiki ana uwezo wa kumudu 1200Cc, ndio maana ametumia hiyo kwa msisitizo. Lugha hizi huwezi elewa kama wewe si muumini wa pikipiki na sio bodaboda.
Wote wanaomiliki pikipiki kubwa hawawazi hivyo vi-baby walker, unakuta wanavyo uwani na hawavipandi wala kuviendesha kwa sbb ya mahaba na pikipiki. Na ukiona mtu anaweka 13m kwenye pikipiki ujue hiyo ni chenji haina matumizi.
Kaka tatizo sisi tunaozipata kwa kuungua jua na kunyeshewa mvua tuna hasira sana, ingekuwa zinakuja kwa ulaini wala isingekuwa tatizo, ingekuwa ni kugawana neema tu, lakini sasa jinsi tuzipatavyo ni mtihani ndio maana tuna hasira sana!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.