Kwa ghafla sana na pasipo maandalizi wizara ya afya imebadilisha kiasi cha ada ambapo kwa ngazi ya cheti tu ada kwa mwenye bima ya afya ni 880,000 kwa asiye na bima ni 930,000 watoto wa wakulima tutasoma kweli?
MDOGO WANGU ANA MATOKEO YAFUATAYO KWA MATOKEO YA STD 7
KISWAHILI-A
ENGLISH-B
MAARIFA-B
SAYANSI-A
HISABATI-A
GRADE A
yupo KIGOMA ni msichana,anawezapelekwa wapi mdogo wangu.
Barua toka wizarani inasema ifikapo tarehe hyo uliyechaguliwa hujalipoti nafasi itachukuliwa na walio kwenye orodha ya reserve. Changamka ni jumamosi tu wiki hii.
JAMANI NDUGU ZANGU NAOMBA SAMAHANI KWA POST YANGU ILIKUWA INAWAAMBIA BADO SIKU 3 WIZARA YA AFYA. Kwa kweli hzi data nilizipata walipotuma ratiba ya moja kwa moja Chuoni kwangu kwamba watatangaza kuanzia tar 5-10 mwezi huu. Lakini wameonekana waongo kwa kutofanya hvo na mimi kuiamin kwa kweli...
we kweli mbulu.. Hv nilivyosema baada ya tar kumi umechukulia kuwa nimebadilisha "#what degree of stupidity are you? Maana yake ni kuwa Ukiona 5-10 imepita ndo ulalamike. Halafu ulvyo mzembe hyo 3 umeitoa wapi wewe? Stupid
hyo data ni real na hakika kama unajilazmisha kutoelewa na kujua kuwa hayo unapaswa uyaandike baada ya tarehe kumi umeipata hyo?
hyo data ni real na hakika kama unajilazmisha kutoelewa na kujua kuwa hayo unapaswa uyaandike baada ya tarehe kumi umeipata hyo?
hyo data ni real na hakika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.