Dada kazi ya Siasa ni ubunifu na you have the long way, kumbuka wakati unaomba kura ulipiga magoti mbele hata ya watoto na najua unajua kwanini ulifanya vile!Jifunze kuheshimu wazee na kuwa mvumilivu, maana this will cost you dada, imagine unaenda kuomba kura 2020 halafu unapiga magoti...
Wasiwasi wangu ni kuwa Juliana Shonza alipata wapi muda wa kuandaa lile tamko?Na Kamati iliposema siku ya mwisho ya mkutano wa Tisa kuna nini?Wasiwasi ni lile tamko la Juliana limetoka wapi?au ndio motion
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.