Watu wanachukua pesa zao kweli NSSF, kama una zaidi ya siku 90 tangu umeacha kazi au kuachishwa kazi ndio unaweza kuomba pesa zako zote.
Ukienda NSSF kuna barua unaandika yenye anuani ya malipo ya mkupuo baada ya kukosa ajira kwa siku 90. Hiyo unakuja kuiambatanisha kwenye madai kupitia tovuti...
Katika vitabu vya Allah vyote ambavyo ni Taurati, Zaburi, Injili na Qur'an, ni Qur'an pekee ndio imebaki vingine vyote havipo.
Qur'an ipo ukitaka unaweza kupata soft copy au ukanunue kwenye maduka ya vitabu vya kiislamu hard copy.
Jaribu kuandika vitu kama msomi au walau uige wasomi wanavyoandika.
Kuhusu kuwaua hili ni kosa, lakini kama jambo hulijui ni bora kuuliza au kukaa kimya.
Mashia wanatoka katika Uislamu sababu ya Imani yao. Naona umeshindwa kuandika na mtoto wa kike Dr. Mariposa.
Kama hurudii tena, tuonyeshe ulipo jibu hayo maswali tuyasome.
Siku zote hii tabia huwa unayo, ya kukimbia maswali.
Hili la ushahidi nimekwambia litafata mpaka pale utakapo jibu maswali niliyo kuuliza na hili ni rahisi sana.
Ujanja unauleta wewe ambaye unakimbia maswali na kupotezea watu muda na kuandika uongo kwamba umejibu maswali.
Ili tuendelee jibu kwanza maswali yangu tisa niliyo kuuliza au tuambie umeyajibu wapi tusome majibu yako.
Swali hili ni la msingi sana, sababu linagusa msingi wa Imani yenu. Tofauti na hilo swali ambalo haligusi chochote katika Imani zaidi ya taarifa.
Tatizo kubwa linalowagharimi Wakristo na kitabu chenu ni kuwa, kitabu chenu hakina msururu (chain) wa wapokezi wa habari zenu. Yaani haijulikani...
Kwahiyo umekubali kwanza ya kuwa waarabu walikuwepo Syria tangu na tangu. Kama unakubali hilo kwanini ulisema Zaburi ni tamko la Kiyahudi na ukashindwa kulithibitisha.
Uache kukurupuka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.