Ni moto kwa kwenda mbele. Hongereni sana japokuwa sipendi vita Ila inabidi basi tuu kazi iendelee.
Atapeleka habari kwa waliotangulia mbele. Kazi iendelee.
Muelekeze Afanye hivi kwa hiyo miguu ya ng'ombe: Achome kwa moto hilo kanyagio(Asichemshe) halafu abandue kwato kwa uangalifu. Ndani ya hizo kwato zilizobandulia kuna kitu kama aina ya mnofu rangi ya kijivu. Hicho ndio dawa. Unakula unapoenda kulala kila siku kwa muda wa siku tatu. Asante.
Mmmh! Mshana bhana, hebu aithee achana na mambo hayo; Ww sio wa hayo - potezea bro.. Tubandikie yale mambo yetu pendwa...... au hata yale ya Kilingeni au maonesho ya kazi za kichawi n.k.
Hahahaha. Mkuu; Wananchi wavumilie kidogo kwani mizoga Itanuka kwa muda tuu lakini baadaye itakuwa ni mbolea nzuri kwenye ardhi ya nchi hiyo na harufu mbaya haitakuwepo tena:D.Kazi iendelee.
1. US, Afrika(North),Nchi za mashariki ya kati (Uarabuni) na sehemu nyingine wanayo mafuta ila bei zao zipo juu ukilinganisha na yale yanayotoka kwa haya mataifa mawili.
2. Wawekezaji wakubwa kutoka nje waliwekeza sana katika sekta hiyo katika mataifa haya mawili.
3. Zipo Nishati mbadala...
Mrusi Hastahili huruma hata kidogo kwani timbwili kalianzisha mwenyewe na kwa hiyo majimbo yoooote anyang'anywe kabisa yarudi Ukraine na pia alipie uharibifu wote aliousababisha Ukraine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.