Ni vizuri umeyao gea hayo , wote hapa tupo na hizo sifa unazozitaka ila , umeelewa kwa nini kabla ya ndowa wanandowa hao hawakwenda serikalini na kusaini ili wapate cheti cha ndowa? Ni kwasababu yote wanaweza yasema ni kweli kwa inje ila unapo anza ishi naye ndio anaonesha yeye ni nani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.