Naunga mkono hoja kiongozi. kwasababu rafiki angu kaomba diploma huku kamaliza form 4, profile yake inasoma NTA 6. Kama ingekuwa NTA 6 ni adv. diploma inamaana hajakidhi vigezo.
nijuavyo ni kuwa NTA4 ni certificate 1year, NTA5 cert 2 yrs na NTA6 ni ord. diploma huku NTA7 ndio adv.diploma.
wadau,
ikiwa mtu ameaplly DIPLOMA YA CL. MEDICINE kwa matokeo ya form four kwa ufaulu wa CCC kwa CHEM BIOS NA PHY, na huku amehitimu fm6 je anaweza kuongeza matokeo hayo( CHEM S BIOS E GEOG E) kwa sasa. kwenye sehemu imeandikwa "add qualificafion".KATIKA PROFILE ZETU.
AU INAWEZA KULETA...
Wadau,
nina rafiki amemaliza form 4 mwaka 2009 na kupata chem c bios c na phy c.
Mwaka 2012 alimaliza form six na kupata chem s bios e na geog e.
Ameamua kuomba chuo clinical medicine kwa matokeo ya form 4 je anaweza kuongeza ya form six kwa sasa??
Kaniomba ushauli nikaona nilete...
utapata bro james...unajua uko juu ya viwango vilivyowekwa..c c d kwa diploma. Kwahiyo tulia kabisaaa!! Ntaomba usome proverbs 3:6 utaelewa namaanisha nini kaka.
kiongozi ..iyo ada iko ata vyuo vikuu vyote wanatoa.ilileta mvutano sana ..lakini mwisho wanafunzi walitoa. wanasema ni kwaajili ya kurekebisha matatizo yanayoteka kwa wanafunzi huko nacte na ktk vyuo vyao
Nimekuelewa sana kiongozi, unajua wakati mwingine zile namba zinatutisha bure...cha msingi ni kuvuta subira na kutulia. Mungu hamtupi mja wake hakika!!!!!
naombeni kujuzwa !!
Uzito wa ufaulu kabla ya mfumo wa GPA na baada, uko sawa??
mfano. aliyepata C C C kwa PHY CHEM na BIOS mwaka 2011, 2012 na aliyepata alama hizo hizo kwa mwaka 2014 uzito wa alama utakuwa sawa katika upangwaji wa chuo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.