Mkuu hiyo dhana ya asili ina nafasi gani? Siyo tumejifunza shuleni makabila mengi ya Tanzania ni Wabantu, je si weyeji tena kwa sababu mababu walitoka Kamerun?
Mkuu tafadhali tusaidie: huyu bwana Lavrov anamaanisha nini akisema analenga kuimarisha Umoja wa Mataifa?
Kama kanuni kuu ya UM ni kutotumia nguvu dhidi ya nchi nyingine na kuepukana na vita? Na kuheshimu mipaka ya kila nchi?
Mkuu kwa bahati mbaya ulidanganywa. CNN inaeleza kwamba hawakuwa na mtumishi "Bernie Gores", hawana anwani ya "CNN Afghanistan"" wala "CNN Ukraine". Wanaeleza kwamba siku hizi watu kadhaa wanatengeneza akaunti zinazofanana na media ya kweli ili kusambaza habari za uwongo.. Wanasema kwamba...
Wakuu, naona taarifa kuhusu majadiliano ya siri kati ya Urusi na Ukraine . Tutumaini ita,eta atunda mema.
Russia might soon consider making concessions in exchange for ceasefire, foreign affairs analyst Yakovyna says
Russian independent media outlet Meduza reported recently that Russian...
Mkuu, tangu miaka 70 kusudi la silaha hizo ni kutisha. Kama huna lakini adui yako anazo, umeshashindwa tayari kabla ya vita. (hii ni kweli kwa vita ya kawaida, ni tofauti katika vita kama Afghanistan..).
Silaha za nyuklia zinatengenzwa kama silaha za kijeshi lakini hali halisi ni silaha za...
Mkuu unaamini kweli Bwana Medvedev anataka kuharibu nchi yake Urusi? Anajadili kama anataka kushambulia sijui Ulaya, au Marekani kwa silaha za kinyuklia. Unafikiri kweli kwamba hajui uwezo wa kujibu upande wa Nato? Kwamba hakuna kitu kitakachobaki Urusi?
Mdogomdogo
Asante kwa ramani hiyo. Wanadhibiti sasa njia muhimu za reli. Inaonekana kwa sasa Urusi haina uwezo kuelekea tena upande wa kusini kuelekea Donetsk.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.