Recent content by kiotahub

  1. K

    JamiiForums Tanzania KERO Kutozwa fedha kwa wanafunzi wanaohitaji kujifunza kwa vitendo katika taasisi za serikali ni sahihi na uungwana?

    Zipo sehemu nyingi tu mfano hospital ya mkoa Iringa, mkoa wa mwanza pale sekoutoure
  2. K

    JamiiForums Tanzania KERO Kutozwa fedha kwa wanafunzi wanaohitaji kujifunza kwa vitendo katika taasisi za serikali ni sahihi na uungwana?

    Ni sawa kuchangia materials siyo tatizo, changamoto ni pale unapoombwa fedha nyingi unaweza kuta unaombwa mshahara wa mtu Mfano mimi nimesoma psychology sihitaji hata sindano kufanya majukumu yangu ila nimeombwa 300k ili itumike wapi⁉️
  3. K

    JamiiForums Tanzania KERO Kutozwa fedha kwa wanafunzi wanaohitaji kujifunza kwa vitendo katika taasisi za serikali ni sahihi na uungwana?

    Nimeomba field hospital ya mkoa nimeombwa nilipe laki tatu kwa awamu moja ndipo nianze fie and the issue is serious hawana mzaha na pesa hizo
  4. K

    JamiiForums Tanzania KERO Kutozwa fedha kwa wanafunzi wanaohitaji kujifunza kwa vitendo katika taasisi za serikali ni sahihi na uungwana?

    Kumekuwa na utaratibu wa kutozwa fedha kwa wanafunzi wanaoenda kwenye taasisi mbalimbali za serikali kujifunza kwa vitendo. Hii ni sehemu ya kujifunza na pia kusaidia majukumu ya taasisi husika kwa kipindi fulani. Badala yake, wanafunzi ndio wanaoombwa pesa nyingi ili kupata nafasi hiyo...
Back
Top Bottom