Recent content by kinyaukitoto

  1. K

    Dah, nahisi dunia imenielemea, nishikeni mkono

    Kwa reaction niliyopata humid,nakushauri hata wewe ukiwa na shida ya serious . Tumia njia yangu Maana utaikimbia Id yako,utawakimbia hata wale unaowahisi marafiki zako,ila pia utagundua tabia nyingi zilizojificha lakini utagundua uwezo wako wa kuhimili changamoto
  2. K

    Dah, nahisi dunia imenielemea, nishikeni mkono

    Hahahaha ni ngumu sana ,maana ipo katikati ya maoni humuhumu ,
  3. K

    Dah, nahisi dunia imenielemea, nishikeni mkono

    Laki saba hiyo mkuu, Usimlaumu direct,pata 1mn ya kufikir
  4. K

    Dah, nahisi dunia imenielemea, nishikeni mkono

    Hahaha mkuu mm mgumu, Afu siyó mzembe
  5. K

    Dah, nahisi dunia imenielemea, nishikeni mkono

    Unanitusi mkuu,Ubarikiwe sana🙏🙏
  6. K

    Dah, nahisi dunia imenielemea, nishikeni mkono

    Id Id yangu ni kind of humble,kwan hujui tabia ya 🐈 kitoto, apart of mm ni smart guy you never expect to be
  7. K

    Dah, nahisi dunia imenielemea, nishikeni mkono

    Daaa....... Sasa Lamomy nikiachana nao, nitasaidikaje si Unajua lazima ujishushe kwanza, Au ww utanishika mkono mdogo wako , Id ikijulikana thread itaanza upya😀😀,
  8. K

    Dah, nahisi dunia imenielemea, nishikeni mkono

    Wakuu mm ndugu yenu kinyaukitoto kama ilivyo sifa ya huyo kiumbe kwa unyenyekevu mkubwa ,bado sijapata ingawa wengi wameonesha kunitia moyo, na kunishauri bado nawaitaji sana . Nishikeni mkono mdogo wenu na kijana wenu, Kama nilivyowaaidi sitowaangusha, Na atakuja mtu kwwnye thread hii kutoka...
  9. K

    Dah, nahisi dunia imenielemea, nishikeni mkono

    Mkuu mm popote kambi kwa sasa mkuu,hzo za tofali nimebeba sana tu
  10. K

    Dah, nahisi dunia imenielemea, nishikeni mkono

    Hakuna nisichostahili mkuu,ndo mana nipo hapa
Back
Top Bottom