Kwa reaction niliyopata humid,nakushauri hata wewe ukiwa na shida ya serious . Tumia njia yangu Maana utaikimbia Id yako,utawakimbia hata wale unaowahisi marafiki zako,ila pia utagundua tabia nyingi zilizojificha lakini utagundua uwezo wako wa kuhimili changamoto
Daaa....... Sasa Lamomy nikiachana nao, nitasaidikaje si Unajua lazima ujishushe kwanza,
Au ww utanishika mkono mdogo wako ,
Id ikijulikana thread itaanza upya😀😀,
Wakuu mm ndugu yenu kinyaukitoto kama ilivyo sifa ya huyo kiumbe kwa unyenyekevu mkubwa ,bado sijapata ingawa wengi wameonesha kunitia moyo, na kunishauri bado nawaitaji sana .
Nishikeni mkono mdogo wenu na kijana wenu,
Kama nilivyowaaidi sitowaangusha,
Na atakuja mtu kwwnye thread hii kutoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.