Recent content by kinsakina

  1. K

    JamiiForums Tanzania Poleni jeshi la polisi kwa msiba huu mzito

    miili ya vijana wetu waliouwawa iko wapi,wangejibu kabla hawajafaa vinginevyo mola hatawaacha salama
  2. K

    JamiiForums Tanzania Chama cha Madaktari Tanzania watoa Tamko Juu ya Kukamatwa kwa Dkt. Conrad Agonza Kahyoza

    Polisi wasituchanganye hapa ,ilikuwaje dakatari akapata majera wakati wao wanamshitaki kwa kumpiga polisi,inammana na yeye alijipiga mwenyewe
  3. K

    JamiiForums Tanzania Dar: Conrad Agonza Kayoza aliyeshambuliwa na Trafiki, kufikishwa mahakama ya Kinondoni leo

    Hizi rushwa ni aibu kwa jeshi la polisi ,ni wananjaa vibaya sana,siungemuandikia faini atalipa baadae
  4. K

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Polisi wamempiga daktari mwenzetu mpaka kalazwa ICU

    Hakuna kupoteza muda tumia utaalamu wako,we ndo daktari mwenyewe kila mtu amwogope mwenzie
  5. K

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini dhidi ya Lissu: Brenda aendelea kutoa ushahidi

    Common wealth ilishasema kesi ni ya uwongo na lisu aachiwe bila masharti lakini bado wanalazimisha uongo kwa sababu wanamiliki mahakama
  6. K

    JamiiForums Tanzania Kuna Mwanamke alinikataa kabisa baada ya Mimi kijitambulisha kwake ni mwalimu

    Hadith Hadith njo hapo zamani za kale
  7. K

    JamiiForums Tanzania Je ni sahihi kuchukua barua alioandikiwa mtu fulani kwa kutajwa jina lake kabisa na kusema ni ya kwako ? case study biblia

    Quaran imeandikiwa kiarabu ,je waswahili ni waarabu,ni wazi iliandikwa kwa waarabu
  8. K

    JamiiForums Tanzania Kumfukuza mtu aliyeamua kujiuzuru ni Akili au Matope!

    Haiwezi kufuta heshima ya nchimbi
  9. K

    JamiiForums Tanzania Dkt. Emmannuel Nchimbi afukuzwa uanachama wa CCM

    Nyerere alitabiri haya ,ccm sio mama yangu
  10. K

    JamiiForums Tanzania Katibu UDASA: Dkt. Kaijage aliniambia Mkipata nafasi msaidieni mke wangu

    Wanajali matumbo yao
  11. K

    JamiiForums Tanzania Polisi Manyara wazuia coaster zilizobeba BAVICHA Karatu kwenda Dodoma, vijana waamua kutembea kwa miguu

    Hatuna polisi bado, hao ni mgambo wa sisiemu
  12. K

    JamiiForums Tanzania Bashiru: Nisingeteuliwa nilikuwa sina mpango wa kuomba kazi nyingine yoyote, niliridhika na kazi ya taaluma UDSM

    Tunawasomi walemavu,mtu anahitimu chuo anatembea na licheti kuomba kuomba ,kama umelimika kweli unaomba ajira ya nini,bado hatuna wasomi halisi,tunaombomba tu
  13. K

    JamiiForums Tanzania Maagizo kutoka juu, yamfanya Mhadhiri UDOM kusota mahabusu

    Uonevu wa hali juu,halafu mnasema,mnaamani,kama kafanya kosa si apelekwe mahakamani
Back
Top Bottom