Recent content by kinsakina

  1. K

    JamiiForums Tanzania Katibu UDASA: Dkt. Kaijage aliniambia Mkipata nafasi msaidieni mke wangu

    Wanajali matumbo yao
  2. K

    JamiiForums Tanzania Polisi Manyara wazuia coaster zilizobeba BAVICHA Karatu kwenda Dodoma, vijana waamua kutembea kwa miguu

    Hatuna polisi bado, hao ni mgambo wa sisiemu
  3. K

    JamiiForums Tanzania Bashiru: Nisingeteuliwa nilikuwa sina mpango wa kuomba kazi nyingine yoyote, niliridhika na kazi ya taaluma UDSM

    Tunawasomi walemavu,mtu anahitimu chuo anatembea na licheti kuomba kuomba ,kama umelimika kweli unaomba ajira ya nini,bado hatuna wasomi halisi,tunaombomba tu
  4. K

    JamiiForums Tanzania Maagizo kutoka juu, yamfanya Mhadhiri UDOM kusota mahabusu

    Uonevu wa hali juu,halafu mnasema,mnaamani,kama kafanya kosa si apelekwe mahakamani
  5. K

    JamiiForums Tanzania Nyie wanachama wa CHADEMA kama kweli mpo timamu watimueni top layer wote wa chama ni wezi na matapeli

    Fedha za chadema sio kodi,wacha wale mpaka wazitapike,nyinyi elezeni taarifa za CAG kwa nini mnaiba kodi
  6. K

    JamiiForums Tanzania Askofu Gwajima: Msione nina mafanikio nimetoka mbali sana Mimi na ndugu yangu Mayalla tulikuwa tunachoma mkaa kijijini na kwenda kuuza mjini!

    Huyu gwajima boy so aliwahi kusema kuwa fedha zake anapata kwa kuuza vitabu alivyoviandika,kweli za kuambiwa changanya na zako
  7. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Zitto: Tumeshajua wanaibaje kura, tumepata mbinu ya kuwakabili

    Zi to o akili 0
  8. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Zitto: Tumeshajua wanaibaje kura, tumepata mbinu ya kuwakabili

    Kumwamini zito lazima uvute mibangi kwanza
  9. K

    JamiiForums Tanzania Rais Samia anapata wapi Mamlaka ya kukashifu Makanisa na kuyaita Makanisa ya Kishetani?

    Aliyasema Nyerere haya tafuta clip zake
  10. K

    JamiiForums Tanzania Licha ya Katiba Mpya huko Kenya lakini imeshindwa kuzuia mauaji, kukosa ajira na njaa. Watanzania mnajifunza nini?

    Unachekesha kweli ,hujui hata nini maana ya katiba na badiliko la kijamii nini?,hii haikwepeki kwa nchi maskini zilinazoongozwa na watendaji wasio mahiri
  11. K

    JamiiForums Tanzania Mashehe muwe Wavumilivu mnapochanganya Dini na Siasa kwa sababu Wagalatia wa Leo ni Wababe vile vile tofauti na wale wa Mabucha ya Kitimoto Mwembechai

    Umeongea point ila ndugu zetu huwa wanatumia nguvu badala ya akili,kwa mashekhee wa uamsho walitumia akili zao vibaya,wagalatia kamwe hawakirupiki
  12. K

    JamiiForums Tanzania Hili la kufuta leseni 2,600 za matajiri na kuwapa Vitalu Wanyonge kunaweza kumpa kura zaidi kanda ya ziwa

    Mama SAMIA anajali sana watu wanyonge kwa kweli tumpe hongera zake,nafikiri ana mazuri mengi yanakuja
  13. K

    JamiiForums Tanzania Rais Samia afanya Miujiza . Kupitia PPP ya David Kafulila amepunguza muda wa meli kutia Nanga Bandarini kutoka Siku 46 Hadi Siku 7 Tu. Ni tabasamu tu

    Katika hili namuunga mkono raisi SAMIA ,anajitahidi sana,sio Kila kitu kumpinga ,kuongoza ni kugumu,apewe maua yake
Back
Top Bottom