Recent content by kinsakina

  1. K

    Askofu Gwajima: Msione nina mafanikio nimetoka mbali sana Mimi na ndugu yangu Mayalla tulikuwa tunachoma mkaa kijijini na kwenda kuuza mjini!

    Huyu gwajima boy so aliwahi kusema kuwa fedha zake anapata kwa kuuza vitabu alivyoviandika,kweli za kuambiwa changanya na zako
  2. K

    GE2025 Zitto: Tumeshajua wanaibaje kura, tumepata mbinu ya kuwakabili

    Kumwamini zito lazima uvute mibangi kwanza
  3. K

    Licha ya Katiba Mpya huko Kenya lakini imeshindwa kuzuia mauaji, kukosa ajira na njaa. Watanzania mnajifunza nini?

    Unachekesha kweli ,hujui hata nini maana ya katiba na badiliko la kijamii nini?,hii haikwepeki kwa nchi maskini zilinazoongozwa na watendaji wasio mahiri
  4. K

    Mashehe muwe Wavumilivu mnapochanganya Dini na Siasa kwa sababu Wagalatia wa Leo ni Wababe vile vile tofauti na wale wa Mabucha ya Kitimoto Mwembechai

    Umeongea point ila ndugu zetu huwa wanatumia nguvu badala ya akili,kwa mashekhee wa uamsho walitumia akili zao vibaya,wagalatia kamwe hawakirupiki
  5. K

    Hili la kufuta leseni 2,600 za matajiri na kuwapa Vitalu Wanyonge kunaweza kumpa kura zaidi kanda ya ziwa

    Mama SAMIA anajali sana watu wanyonge kwa kweli tumpe hongera zake,nafikiri ana mazuri mengi yanakuja
  6. K

    Rais Samia afanya Miujiza . Kupitia PPP ya David Kafulila amepunguza muda wa meli kutia Nanga Bandarini kutoka Siku 46 Hadi Siku 7 Tu. Ni tabasamu tu

    Katika hili namuunga mkono raisi SAMIA ,anajitahidi sana,sio Kila kitu kumpinga ,kuongoza ni kugumu,apewe maua yake
  7. K

    Rais Samia akishiriki Uzinduzi wa Hema la Mwamposa, Julai 5, 2025 Viwanja vya Tanganyika Packers, Kawe

    Kwa upuuzi wa maji ya upako,sibora lingejenga hata shule na hospital,minizi ya Imani inashida
  8. K

    GE2025 Askofu Fredrick Shoo: Mchango wa Rais Samia kwa Kanisa sio hongo. Niendelee kumsihi Rais Samia asirudishwe nyuma

    Tatizo la Maaskofu wa KKKT Yanapenda kula kula,ukiwa muumini wa KKKT unalazimishwa uwambie mwaka mzima utawapa shilingi ngapi Na wanakujazisha fomu,ila yenyewe hayakwambii mwaka mzima yatakufanyia nini
  9. K

    Rais Samia kuwa mgeni rasmi ufunguzi wa jengo jipya la Kanisa la Mwamposa (Arise & Shine)

    Hili jama linaiba hela za watu sana kwa mazingaombwe,jizi kweli kweli
  10. K

    GE2025 Zitto Kabwe: Tusiwaache CCM peke yao kwenye uchaguzi. Twende tukapambane nao, twende tukalinde kura

    Kuna asiyemjua zito kabwe, opportunitst huyu jamaa wa hovyoooo,wapeleke wanao wakalinde kura sasa
Back
Top Bottom