Unachekesha kweli ,hujui hata nini maana ya katiba na badiliko la kijamii nini?,hii haikwepeki kwa nchi maskini zilinazoongozwa na watendaji wasio mahiri
Tatizo la Maaskofu wa KKKT Yanapenda kula kula,ukiwa muumini wa KKKT unalazimishwa uwambie mwaka mzima utawapa shilingi ngapi
Na wanakujazisha fomu,ila yenyewe hayakwambii mwaka mzima yatakufanyia nini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.