Tutapata lini mawaziri Tanzania wenye kuwajibika kuhakiki mambo sio kuletewa na maswali yakianza hana jibu la kulijibu taifa? wanafanya fyoongo na wakipigiwa sim kuthibitisha hawapokei kana na sipika bungeni anawakumbatia?
nina hasira na serikali hii basi tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.