Recent content by KING SANIGWA

  1. K

    Kwanini wasomi tuaongezeka lakini Taifa bado ni maskini ?

    Mfumo wetu wa elimu ndo mbovu,mfano watu wengi wanasoma dgree sio zao kwasababu tu ya kupata mkopo so automatically unaua vipaji vingi vya watu ambao walikuwa na uwezo kwenye sekta flan lkn kwasabab kozi anayotaka kusomea cyo kipaumbele cha serikal inambidi tu abadil mwelekeo,vilevile dunia...
  2. K

    Msaada: Nafasi za hostel NIT

    poa mkuu,ntafika chuo kuchukua.
  3. K

    Msaada: Nafasi za hostel NIT

    hivi tution fee(NIT) kwa kozi za engineering eg mechancal n automobile ni sh ngapi? maana kwenye TCU guidebook wameandika 1.5 million lakini kwenye website ya chuo(fee structure) haifki 1.5 mln ila ukijumlisha na direct cost ndo inafika sh 1.5M.So msaada kwa anayefahamu!
  4. K

    Msaada: Nafasi za hostel NIT

    hivi admission letter za NIT zinapatikana wapi? maana kwenye mtandao hatuzioni!
Back
Top Bottom