Baada ya mashindano ya kombe la dunia kumalizika ambapo tumeshuhudia Ufaransa na Croatia wakicheza fainali na hatimaye Ufaransa kutawazwa mabingwa wapya,Bila ubishi nakubali walistahili.
Kwa sasa pamekuwa na mijadala ya nani anastahili kutwaa Ballon D'or.Majina yanayokamata ni Ronaldo, Mbappe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.