Mkuu msingi natarajia kuweka mawe nishauri mkuu uwe waurefu gani? Pia ninampango wakuchimba mitaro ya maji, naskia Pia kuna white cement hii gharama zake ipoje na je inaumuhimu wakuweka ktk ujenzi wng yani itanisaidia kuboresha na uimara wa jengo?
Habari Wana jamvi,
Kwanza niwashukuru JF kwa kuanzisha jukwaa muhimu kama hili, mimi jamani kila nikiangalia post za humu naona zinazungumzwa nyumba ninazo ziona mijini na mara chache huku vijijini ikiwa mtu amestaafu[emoji23][emoji23].
Sasa mimi nipo Morogoro Ngerengere nataka kujenga kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.