Recent content by king kanesh

  1. K

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Unapenyaje na wakati makambin tu vijana wame jaa mpaka wana mwagikia
  2. K

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    LEO NI MONDAY MNADHIMU MKUU PAMOJA MWAJIRI WANAENDA MSATA KO TUWE UPDATE KWA AJILI YA LONJA KUWA NINI KIMEENDELEA HUKO MSATA
  3. K

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Nyie achani pressure kuweni na Subira tutaitwa tu lazima tuitwe hao walio pigiwa simu ni wa chache wale wa maelekezo makubwa kbsa ya juu kbsa weng wao wazazi wao n maafande kbsa wengne hata maombi hawakutuma lkn wameitwa kuweni na Subira tutaitwa tu
  4. K

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Acha kutuma kejeli bana Kwan ww upanbanii alafu side acha bhana
  5. K

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Mh ww mkuu taarifa unazitoa wap mbona sisi tuna ma mbanga wa uhakika ma kanal wanasema wa mtaan bdo
  6. K

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Hapana sijapigiwa ww kama upo tayar ww twend tuseme tumepigiwa simu
  7. K

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Oya kama kuna Mtu yupo MWANZA anataka kiingia makutopora aseme twend ila isizid kesho
  8. K

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Anha embu tupe namba ya Mtu mmoja aliepo pale makutopola
  9. K

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Sasa namba za kuwapigia tena wamezitoa wap
Back
Top Bottom