habarini za majukumu,samahani ningeomba kujuzwa kama honey king wananunua asali kwa wauzaji wadogo na kama ndio wananunua kwa bei gani?na kama kuna mtu mwenye mawasiliano yao anisaidie maana kwenye website yao hawajaweka.natanguliza shukrani
na unaposema mnanunua 1kg=7000 that means mnapima na je kama muuzaji kaleta kwny ndoo ya 20 lita kwa uzoefu wako hiyo itakuwa na kg.ngapi.pili kama mimi nina asali nimeshaivuna tayari mnaweza kununua asali yangu pia?asante
Aina:Dell laptop
HDD:500GB
Ram:4GB
Processor:2.3GHz
Wifi and bluetooth connectivity
3USB Port
Betry life:one hour
Price:480,000/=
Inapatikana Dar es salaam Mikocheni
Kwa mawasiliano:0686-801576
Karibuni
una maanisha kusafirisha nje ya nchi ama?kama ni nje ya nchi yes bt uwe unapeleka kwa madhumuni ya biashara na mzigo uwe mkubwa kama unapeleka kama one litre kama zawadi no need ya kibali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.