Je!! Ni kweli hawa jamaa (ccm) hawaoni kwamba serikali mbili zimeshindwa kuhimili muungano??
Wanataka muungano uvunjike ili iweje!?
Dawa inayoweza kuponya muungano ni serikali TATU.
Kweli sikio la kufa ......
Ya leo yanatosha. Wazee ("wanaongoja kufa") na vijana wao wameeleza yote kwa marefu na mapana. CCM ikubali kujadili Rasimu la sivyo mchakato uairishwe, yafanyike marekebesho ya kufanya uchaguzi huru na wa haki. Halafu mchakato urudiwe baadaye.
Nashangaa. Ni kweli wote wanaozungumza na kuandika, hawaoni kwamba tatizo ni kundi la Tanzania Kwanza (CCM) na sio UKAWA. CCM wakikubali kujadili Rasimu ya Tume, na kukubali ukomo wa madaraka ya Bunge la Katiba, UKAWA watarudi bungeni na mchakato utaendelea.
TATIZO NI CCM SIO UKAWA.
Tatizo ni kundi la Tanzania Kwanza na sio Ukawa.
Wakubali tu kujadili Rasimu.
Waache longlongo na kuwachanganya Wananchi.
Uelewa mdogo wa wananchi wengi usiwe mtaji wa kuvuruga mchakato wa katiba mpya.
Je sasa tuna sirikali ngapi?
1) Kuna mawziri wa sirikali ya Zanzibar.
2) Kuna mawaziri wa sirikali ya muungano.
3) Kuna mawaziri wasio muungano. Hawa ni mawaziri wa nchi gani. Ni wa Tanzania bara, ama ni wa Tanganyika.
Kwa vyovyote ni mawaziri wa sirikali ya tatu.
TUNAZO SIRIKALI TATU.
Tukiamua...
Je serikali tatu ni ghali kuliko hizi mbili tulizonazo hivi sasa?
1) Sasa mawaziri wa serikali ya Muungano ambayo inajuisha
(wa Tanganyika)mawaziri waasio wamuungano.. ni Takriban 60.
2)Mawaziri serikali ya muungano
(Shirikisho) watakuwa 10 na wale serikali ya Tanganyika 15. Jumla 25
Je? 60...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.