TAHADHARI TAHADHARI
Punguza usumbufu kwa kutojiagizia gari mwenyewe
Na KIMOMWE MOTORS (T) Ltd- Waagizaji Magari
Mada hii fupi inakuja baada ya kuona baadhi ya ndugu zetu waliojiagizia wenyewe au kupitia watu wao wa karibu wenye uzoefu na matokeo yake gari zao zikachelewa mpaka miezi 6...
TRA WANAANGALIA BEI YA GARI AU NI MWAKA NA MODEL TU?
Na Kimomwe Motors (T) Ltd- Waagizaji Magari
Swali hilo muhimu liliulizwa na mmoja wa wadau wetu na majibu yake ni kama ifuatavyo.
Kwa ufupi ni kwamba
Ushuru wa gari yako utaamuliwa na vitu vyote vitatu yaani Bei ya gari, mwaka na model...
BMW X1- Kwa ufupi
Na KIMOMWE MOTORS (T) LTD- Waagizaji Magari
Utangulizi- Iliingia sokoni kwa mara ya kwanza 2010 ikichukuliwa kama mdogo wa BMW X3 iliyotangulia sokoni tangu 2004.
Injini+ Mafuta- Ina injini aina 2 tofauti zenye Cc 2000 zinazokadiriwa kwenda km 10-11/L kila moja. injini bora...
VVti, ni ufupisho wa teknolojia ya Toyota inayowezesha gari zake kua fanisi zaidi kwenye mafuta na upunguza mungurumo wa gari...injini inakua kubwa ila inatumia mafuta kidogo, mfano 2AZ ya Kluger ina Vvti inatumia chini kidogo wakati Alphard Haina Vvti hivyo kutumia juu...Pia wana teknolojia...
IJUE BMW 7 SERIES- Kwa ufupi
Na KIMOMWE MOTORS (T) LTD- Waagizaji Magari
UTANGULIZI
Ni moja ya gari za starehe iliyoboreshwa kwenye mambo mengu na iliingia sokoni kwa mara ya kwanza 1977. Leo tutaongelea generation ya 4 iliyoingia sokoni kuanzia 2001 mpaka 2008 inayoshindanishwa na Benz S...
TOYOTA WISH AU IPSUM?- Kama alivyouliza mdau kwenye group
Na KIMOMWE MOTORS (T) Ltd- Waagizaji Magari
Ipsum za zamani zimeadimika, hivyo ntaongelea ile mpya kuanzia miaka ya 2001.
Toyota Ipsum inakuja na injini kubwa iitwayo 2AZ (Cc2400) yenye Vvti ambayo pia inapatikana kwenye Harrier Old na...
AGIZA- MAZDA TRIBUTE pichani kwa 13.9m
Na KIMOMWE MOTORS (T) LTD- Waagizaji Magari
Cc 2000 (12km/L), Km 52,000...Tulivu safarini na vifaa vinapatikana na kudum
Gharama zote 13,950,000. Awali lipa 7,500,000.
Piga 0746 267740 au fika ofisi za Mbeya au Dar
AGIZA- VOLKSWAGEN TOURAGE KWA 25.5m
Na KIMOMWE MOTORS (T) LTD- Waagizaji Magari
Cc 3200 (Km 7.5/L), Km 82,000.
Gharama zote 25,500,000. Awali lipa 13,500,000.
Tembelea ofisi zetu Dar au Mbeya au Piga 0746 267740
hapo tulijikita zaidi kwa models zinazoagizwa zaidi na Watanzania wengi mfano IST old tunamaanisha ya mwaka 2002 mpaka 2005, BMW X3 twamaanisha ya 2003 mpaka 2007, Volvo XC 90 twamaanisha ya 2003 mpaka 2007. Tukisema Passo twamaanisha ya 2004 mpaka 2007 n.k
kila la kheri boss. sisi sio mawakala wa BF pekee, tunashirikia na kampuni zaidi ya 12 zenye bei nafuu na magari yenye hali nzuri zaidi...tunachopata ni discount ambayo hii hua kama gharama za ofisi kwa sisi kubeba dhamana ya pesa yako. hesabu zote zafanyika wazi
Na KIMOMWE MOTORS (T) Ltd- Waagizaji Magari
picha chini inaonesha jumla ya gharama kwa baadhi ya gari tulizoagiza kwa mwaka huu 2021. Hivyo ukihitaji kumiliki gari yako kutoka nje inaweza kugharim wastani wa gharama hizo hapo chini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.