Toyota Sienta # D
Year, 2004
Engine, 1400cc
Milage, 100,000 km
Kuna jamaa anataka kuniuzia kwa 8.0 mil. Naombeni uchambuzi wenu ktk uimara wa gari hii, unywaji wa mafuta, safari ndefu mfano Dar-Dom kama inahimili. Je bei ni reasonable?
Karibuni Timu Trump na Timu Kiduku.....
Kiongozi wa Korea Kaskazini amwita Rais Donald Trump "mbwa mwenye hofu" na "gangster anayependa kucheza na moto" katika taarifa rasmi iliyotolewa jana Alhamisi (21/09/2017).
Kim Jong Un aliijibu hotuba ya U.N. ya Trump katika hati iliyoandikwa kwa maneno...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.