Mh. Rais ashapambwa tayari sina uwezo wa kumpamba.
Shida ni kuwa na chuki ambazo haziwezi badilisha kitu ...akija Rais mwngne naye utamchukia tena akija mwngne utamchukia huoni huo ni UTAHIRA
Watanzania wa wapi ambao hawataki maridhiano be specific.
Kuna Wana CCM zaidi ya mil. 40 nchi hii unasemea watanzania wa wapi.
Mkiambia hamna akili mnaanza kutoa mapovu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.