Halmashauri ya Wialaya ya Temeke, ofisi ya mapato Chamazi, inanyanyasa wafanyabiashara wadogo.
Wanakusanya Service levy kwa cash badala ya kutoa control number kwa kisingizio cha mtandao hakuna. Pili wanakamata wafanyabiashara kinyama bila hata kuwaruhusu wafunge biashara zao, hii haikubaliki...
Mi nitaachana na tigo pesa. Sijui mamlaka hazioni hii loophole ya wizi inayofanywa na tigo? Muamala uliotolewa kwa wakala usirudishwe mpaka wakala apigiwe aitwe akatoe scenario ya huo muamala. Sasa matapeli wanaonekana kuwa na upper hand kwa kusaidiwa na Tigo
Mi yamenikuta jana. 120k karudishiwa mtu aliyekuja kutoa kihalali kwangu. Tigo wanaajiri vijana wezi, wanatengeneza syndicate ya kuibia mawakala mtaani. Hii biashara nitaachana nayo, kama wanaopaswa kusaidia mawakala ndio wanakuwa accomplice wa wizi.
Nimeongea na tigo huduma kwa wateja eti wanasema "ulichukuq kitambulisho cha aliyetoa pesa" wtf!!!
Hivi kweli mtu amekuja na line yake na namba za siri zake unasema mpaka atoe kitambulisho? Hata kama ni utaratibu kiukweli hayo sijawahi ona mahali Tanzania hii mtua huduma za mtandao anadai...
Hii pesa yangu watairudisha, nitafika popote panapowezekana. Haiwezekani tunapata faida ndogo sana alafu wao tunaowategemea wanakuwa sehemu ya kutufilisi.
Kwa nini mrudishe pesa kwa mteja aliyetoa pesa kwa wakala bila ya kumpigia wakala? Kwa nini mrudishe muamala wenye utata bila ya kuwaita wote, kufuata protocol zenu wenyewe za kuangalia mnara ulitumikq? Hamuoni kuwa hamkwepi kuwa accomplice?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.