Recent content by KIMA JEURI JEUSI

  1. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polepole ni mwana CCM wa itifaki na maslahi - Rostam Aziz

    Slowslow mjibu huyu mhuni na mwanamtandao, usiache kujibu kauli zotezote wa wahuni.
  2. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Video: Rais Samia Akiondoka Ukumbini Kuwapisha Wajumbe Wafanye Yao. Aliyedai Rais Hakutimiza jambo Hilo Alikuwa na lengo la Kupotosha

    Naomba kuuliza ule mfumo wa kuchukua form na watia nia kujaza na kuzirejesha hautumiki? Jamani nauliza tu mi mgeni kwenye siasa
  3. K

    JamiiForums Tanzania Askofu Gwajima: Rais Sio mzalendo namba moja nchini, Mwanajeshi ndio mzalendo namba moja

    Hakuna mwanasiasa mzalendo, labda Kwa wanaotetea haki za watu na Mali za umma. Kitendo Cha mtu kutoa uhai wake sio kigezo Cha uzalendo. Wapo wanaotoa uhai wao kutetea maslahi yao(nafasi) zao huo sio uzalendo. Uzalendo gani wa kutesa wengine ili usiwe na uwanja sawa katika siasa? Hakuna...
  4. K

    JamiiForums Tanzania KERO Waziri na Kamishna wa Elimu wameshindwa kusimamia mwongozo wa likizo? Wanafunzi walazimishwa kusoma wakati wa likizo

    Vipindi vilivyopotea vinafidiwa vipi Kama sio muda huu?
  5. K

    JamiiForums Tanzania KERO Waziri na Kamishna wa Elimu wameshindwa kusimamia mwongozo wa likizo? Wanafunzi walazimishwa kusoma wakati wa likizo

    Mwanao anasaidiwa kuongeza maarifa unaona heri akae nyumbani kucheza Cha ndimu, shuleni Nako wanapumzika kwa kuwa walimu wanafundisha masomo machache yenye Changamoto(siyo masomo yote) Watoto wa Sasa ni watoto michezo Msingi bila kupewa muda wa kufanya marudio tutafelisha Sana ambayo madhara...
  6. K

    JamiiForums Tanzania Za ndani ni kuwa G-55 wamevurugana vibaya. Wameanza kusalitiana na kutishana

    Mchawi akikuombea, ujue dua yake haina faida kwako. Mpango wa Mrema, kigaila na mwalimu umekufa ghafla Sana hata Lissu bado hajatoka!! Dhamira ilikuwa Lissu akitoka akute wafuasi wote wamepelekwa Chauma lkn HECHE LEMA NA MNYIKA wamesimama imara Sana Heshima ya Mbowe ndiyo umepotea kabisa, hata...
  7. K

    JamiiForums Tanzania Baada ya Muda Mfupi Ujao Wataanza kutaja Majina ya Watu waliowaumiza na huenda wakamtaja hata aliyekuwa anawatuma

    Gambo anakiri wote wameumiza watu lkn idadi ya mwenzake ni kubwa zaidi, kwahiyo kila mmoja analo file la mwenzake, hahahaha piga za chembe nikupige za uso
  8. K

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Seneti ya Marekani itajadili hali ya Kisiasa Tanzania wakati wowote mwezi huu, hapa CCM lazima wapoteane

    Ukiwa na familia ukaanza kunyanyasa au ukaua mwanafamilia serikali itaiingilia Kati kuwa umefanya kinyume na haki za binadamu Kwa Sasa tangu 2019,2020,2024 wananchi tumeteswa kwenye chaguzi zetu, Sasa Kama ambavyo serikali inaweza kumfurusha mwanafamilia mkatili, je bunge la Ulaya kosa lake...
  9. K

    JamiiForums Tanzania Maazimio ya Bunge la Ulaya kuhusu Tanzania; kuna hoja ya USHOGA pia

    Clip ukisikiliza sijasikia haki za mashoga, tusipotoshane
  10. K

    JamiiForums Tanzania Video: Rudia kusikiliza maneno yaliyomtia matatani Lissu; Serikali ilichukua hatua mwafaka

    Kisheria ili kosa liwe la uhaini linatakiwa afanye nini? Sifa za uhaini nini?
  11. K

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Je utashiriki kupiga kura kwenye uchaguzi 2025 baada ya CDM kutokuwepo kwenye mchakato?

    Unapiga kura ugundue nini? Uchaguzi haupo hapo. Kazi wanayo wasimamizi, watapiga kura usiku kucha maana wananchi watakaokuja ni wachache na maeneo mengine itakuwa hakuna wapiga kura
  12. K

    JamiiForums Tanzania Yawezekana tabia ya udalali wa kisiasa ndio ilipelekea CHADEMA wasitangazwe washindi kwenye Chaguzi

    Kwa Sasa naye analiwa na baridi la ukiwa. Mbowe alikuwa dalali mkuu wa siasa
  13. K

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Tundu Lisu Vs John Heche katika kuwasilisha hoja kwa wananchi

    TAL & HECHE wamegawana majukumu ya kazi!! Kila mmoja anazungumza Mambo mahsusi ya nchi. Punguza kiherehere Mbona mama yenu anazungumza amani, amani amani lkn hagusii kabisa HAKI!! Anajua kabisa hatendi haki kwa Mambo mengi. Bila haki kutendeka amani haitakuwepo kabisa. Nani wa kukubali kuumizwa...
  14. K

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Video: Wanawake wa BAWACHA walipuka kwa furaha baada ya jina la Mbowe kutajwa ukumbi Mlimani City. CHADEMA kuna mpasuko?

    Uliyesema wabangaizaji hawamtishi lkn wamemrudisha nyumbani kucheza na paka!! Comparison hufanywa na chawa, wenye ideology wanaishi kwa amani kwa kuwa Wana Cha kupigania
  15. K

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mchungaji Msigwa: CHADEMA imepoteza imani na wananchi, No Reforms, No Election ni mkakati butu

    MSIGWA anataka arudi chadema ili akagombee, Kama Hilo haliwezekania aona Bora abaki huko ateuliwa hata UDC!! NJAA INAUMA VIBAYA HASA NYAKATI ZA BARIDI
Back
Top Bottom