Recent content by kilimafedha

  1. K

    Nataka kujua juu ya matumizi ya mbolea ya mavi ya popo

    kuna sehemu yapo zaidi ya gunia ishirini mbona!
  2. K

    Matumizi ya mbolea ya asili

    Habari wadau, Napenda nifahamu kuhusu matumizi ya kinyesi cha popo kama mbolea kwenye kilmo hasa cha mpunga. Je, naweza kuitumia kama aina gani ya mbolea; ya kupandia au kukuzia? Je, nitumie kiasi gani kwa ekari?
Back
Top Bottom