Recent content by kilakitukinabuma

  1. K

    Naombeni ushauri nahisi kuchanganyikiwa

    n nifanyeje mkuu naomba mbinu.
  2. K

    Naombeni ushauri nahisi kuchanganyikiwa

    wakombali sana wanafamilia zao kabisa mkuu
  3. K

    Naombeni ushauri nahisi kuchanganyikiwa

    saa Saa nyingine nikikumbuka niliacha shamba langu nishauri kuandaa nasubiri mvuatuu ndio napata hasira vibaya sana
  4. K

    Naombeni ushauri nahisi kuchanganyikiwa

    Asante kaka kwaushauri mzuri.sema naona hadi aibu na kukata tamaa mana sina chochote ilanitakaza moyo tuu
  5. K

    Naombeni ushauri nahisi kuchanganyikiwa

    Dah poa fundi bishoo.niunge basi kwenye kazi mkuu
  6. K

    Naombeni ushauri nahisi kuchanganyikiwa

    Wakuu za mida? nadhani mko poa! Mimi ni kijana wamiaka24 nilifeli kidato cha nne mkoani huko nikawa nafanya shughuli za kilimo na washkaji zangu huko mkoani. Nilikuwa napata hela za kujikimu na chakula fresh tuu na pia kadri siku zilivyokuwa zinaenda nilikuwa nina mpango wa kulima mazao mengi...
Back
Top Bottom