Recent content by KIKOTI12

  1. KIKOTI12

    Mwanafunzi wa chuo ajishindia Tsh bilioni 4 kwa kubeti kwa usahihi mechi 17

    Anaongea tu hivi viumbe vina ushawishi na hakuna mwanaume anaweza vumilia ushawishi wao
  2. KIKOTI12

    SoC01 Umuhimu wa Kilimo kwa Taifa Letu

    Kilimo kina umuhimu mkubwa sana kwa nchi yetu kwani kinatupatia Chakula Afya Ubora wa familia hupimwa kwa kujitosheleza kwa chakula. Asilimia 65% - 70% ya watu wanategemea kilimo. Moja Kati ya Sera za kilimo ambazo zilishawekwa na serikali hapo nyuma ni Kama vile 1. Chakula ni uhai 2...
  3. KIKOTI12

    SoC01 Vichocheo vya ukuaji wa Uchumi wa Tanzania yetu

    Uchumi hupimwa kwa ongezeko la Pato la ndani la nchi ambalo nchi inakuwa umepata kwa mwaka mmoja. Kuna sababu nyingi zinazopelekea ongezeko Hilo. Kwenye nchi nyingi hupimwa pia kwa jinsi gani watumiaji wa bidhaa wananunua na uwekezaji wa bidhaa. Kama mtumiaji anauwezo wa kununua mahitaji yake...
Back
Top Bottom