Kilimo kina umuhimu mkubwa sana kwa nchi yetu kwani kinatupatia
Chakula
Afya
Ubora wa familia hupimwa kwa kujitosheleza kwa chakula.
Asilimia 65% - 70% ya watu wanategemea kilimo.
Moja Kati ya Sera za kilimo ambazo zilishawekwa na serikali hapo nyuma ni Kama vile
1. Chakula ni uhai
2...
Uchumi hupimwa kwa ongezeko la Pato la ndani la nchi ambalo nchi inakuwa umepata kwa mwaka mmoja. Kuna sababu nyingi zinazopelekea ongezeko Hilo. Kwenye nchi nyingi hupimwa pia kwa jinsi gani watumiaji wa bidhaa wananunua na uwekezaji wa bidhaa. Kama mtumiaji anauwezo wa kununua mahitaji yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.