Hiyo nguzo ya tatu ni ile mnaita setting hailipiwi sasa kama kwangu ni nguzo mbili hiyo 120+inayoka wapi?
Mimi ninahitaji nguzo 2 na hiyo ya tatu ni ile mnaita setting
NAOMBA MSAADA HAPA
Sijui aliyefanya savey aliamua kunihujumu maana kwangu ni kama nguzo 2 ila kwasababu kuna nyumba umezuia nguzo ilibidi kuna ile nguzo ndogo kwaajili ya ku jumpa ambayo ni kama mita 5 hivi ndio upate njia ya kuingia kwangu ambapo ni nguzo 2 tu sasa sijui utanisaidiaje kwani saveyor inainekana...
Sijui aliyefanya savey aliamua kunihujumu maana kwangu ni kama nguzo 2 ila kwasababu kuna nyumba umezuia nguzo ilibidi kuna ile nguzo ndogo kwaajili ya ku jumpa ambayo ni kama mita 5 hivi ndio upate njia ya kuingia kwangu ambapo ni nguzo 2 tu sasa sijui utanisaidiaje kwani saveyor inainekana...
Mimi naitwa VALENCE CASSIAN KUNDY
NIPO MOSHI
NILIOMBA KUUNGANISHIWA UMEME TOKA MWEZI WA 8 MWAKA JANA NIKAFANYA SURVEY ILA HADI LEO SIJAPATA CONTROL NUMBER NA KIKA NIKIFIKA OFISINI WANASEMA MTANDAO UPI CHINI SIJUI MTANISAIDIAJE?
0755705925
Tanesco nililipia nguzo mblili toka january hadi leo sijapata huduma dasa yapata week ya tatu wameleta nguzo wameacha hapo na hawajasema chochita
Nipo moshi kituo cha huduma ni Himo
Jina: casian kundy wa kirua vunjo moshi
Msaada tafadhali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.