Habarini kwanza, naombeni ushauri kwa hili.
Nina watoto 2 nimeishi na mwenazngu kwa miaka 5 ila bado hatujafunga ndoa mwenzangu ameanza tabia za ajabu ambazo hapo kabla sikuwahi kuzijua kabisa kawa mlevi wanawake ndo usiseme nilipokuja kugundua nilipewa kipigo nikaamua kurudi kwetu maana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.