Recent content by Kijeba Kijeba

  1. K

    JamiiForums Tanzania Waekezaji wakubwa duniani wanachukulia serious sana habari za media kubwa kama Al jazeera, na report kama za AU au sadc

    Uwezo wa watawala wa afrika na washauri wao ni mdogo sana
  2. K

    JamiiForums Tanzania Waekezaji wakubwa duniani wanachukulia serious sana habari za media kubwa kama Al jazeera, na report kama za AU au sadc

    Tunaamini tukiifungia Al jazeera hapa Tanzania kazi imeisha Uwezo wa viongozi wetu ni mdogo sana
  3. K

    JamiiForums Tanzania Kuna muda najiuliza mwafrika ni binadamu aliyekamilika kweli!, asije akawa ni tofauti na hao wengine

    Mimi ni ccm ila kama nchi tunasafari ndefu sana
  4. K

    JamiiForums Tanzania Barabara mpya ya kuanzia Ubungo mpaka Kimara ni nyembamba sana ilihali eneo lililochimbwa ni kubwa

    Mambo mengi sana yanafanywa kimchongo mchongo na wananchi hawajali ndo furaha kwa viongozi Mateso ya foleni karibia mwaka mmoja alafu inaongezwa njia moja
  5. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Balozi Polepole: Rais Samia anahujumiwa, kazungukwa na Wana Mtandao (Kikwete na Rostam)

    Sisi waislamu tulioko ndani ya mfumo tunamkubali na tutamlinda
  6. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Balozi Polepole: Rais Samia anahujumiwa, kazungukwa na Wana Mtandao (Kikwete na Rostam)

    Wewe unapondaga wakristo iweje leo uwatete hayo mapenzi kwa wakristo yameanza lini
  7. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Balozi Polepole: Rais Samia anahujumiwa, kazungukwa na Wana Mtandao (Kikwete na Rostam)

    Hutaki sisi waislamu tutawale nchi kwa amani kwanini wewe na polepole mnachuki sana na rais muislamu
  8. K

    JamiiForums Tanzania Mulamula alitolewa Marekani akaja akapewa ubunge na uwaziri ila leo anakatwa juu kwa juu , wasomi muwe makini ni ngumu sana kufanya kazi na akil ndogo

    Out-of context anasura ngumu sana aisee samahanini wahaya kama nimekosa
  9. K

    JamiiForums Tanzania Sura za kurogea watu na kufanyia ushirikina

    Wewe unamatatizo ya akili sana swala la quran umekimbilia kwenye biblia hapo hata mimi muislamu unanshangaza sana Hii ndo changamoto ya hii dini yangu ya uislamu unaulizwa hivi unajibu vile Huwezi muuliza mkristo mambo ya dini yake akatumia quran hata siku-moja nyie ndo mnafayoiharibu dini...
  10. K

    JamiiForums Tanzania Sura za kurogea watu na kufanyia ushirikina

    Nimeambiwa Unamwogopa kisomo chake hufikii hata robo
  11. K

    JamiiForums Tanzania Sura za kurogea watu na kufanyia ushirikina

    Wanasema humuwezi mleta uzi hamis77 unamuogopa Nyuzi zake unazikimbia kama kituo cha polisi
Back
Top Bottom