Mkuu mkataba unaosainiwa kabla ya kujua undani wa biashara ni mkataba unaomfunga mpokea hoja kutunza siri ya biashara yenyewe na si mkataba wa ubia.
Kuhusu kiwango cha hisa ni kama nilivyoeleza hapo juu 30% hii ni kutokana na sababu ambazo siwezi kiziweka hapa.
Soma vizuri uzi huu kabla ya kucoment mkuu. Nimesema kabla hujasaini peleka mkataba kwa mwamasheria wako akufafanulie, majibu yake yatakufanya ujue kama utasaini au laa.haulazimishwi kisaini.
Salam JF,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.Mimi ni mbunifu wa Applications mbalimbali za simu na smart devices nyingine kwa ajili ya kuboresha na kurahisisha maisha ya watu na pia ili kwenda sambamba na teknolojia.
Sekta ya teknolojia ya mawaailiano katika maisha ya watanzania inakua kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.