Habarini wana JF, nina mashudu ya alizeti tani 10 yapo Tabora, Natafuta mtu wa kuja kuyanunua kwa bei Tsh 250/= kwa kilo kwa mawasiliano zaidi
0783552816 and 0746495816
Utachagua tukuletee mzigo mpaka dar,, au wewe uijie tabora lakini ukifata mzigo bei inapungua kuwa 140000 kwa dumu sababu usafiri ni 15000 kwa dumu na vibali vya kusafirisha tunakupa tunavyo
Nina asali mbichi toka Tabora ya nyuki wadogo na wakubwa natafuta soko popote ulipo hasa Dar es salaam anayehitaji anifate inbox au no 0783552816 nipo Urambo Tabora
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.