Recent content by Kigugumiza

  1. K

    Askofu: Hakuna Utajiri wa Maombi

    Na wakati huohuo wewe msubilia utajili unaendelea kukamuliwa vialfu moja vyako huku ukitapeliwa na ushaidi wa uongo
  2. K

    Mitume walikuwa wanaomba kuombewa na wafuasi kipindi wanafanya huduma. Kwanini mwingine anaombewa hata baada ya kufa?

    Hivi ndugu yangu tuongee ukweli wa kumuogopa mwenyezi Mungu,Yesu hakuwa kuwa na Dini?Mitume wote wa Mwenyezi Mungu walikuwa wana Dini na ndiyo maana walikuwa hawapingani,na wote wanatoka kwa Ibrahimu ambaye ndiye baba yao
  3. K

    Mitume walikuwa wanaomba kuombewa na wafuasi kipindi wanafanya huduma. Kwanini mwingine anaombewa hata baada ya kufa?

    Ndugu yangu Mungu asingemuumbia mwanadamu bila Dini,hata huyo Yesu alikuta wazazi wake wana Dini na aliabudu kwa kupitia dini ya wazazi wake na mpaka anaondoka hakuihasi dini yake,
  4. K

    Mitume walikuwa wanaomba kuombewa na wafuasi kipindi wanafanya huduma. Kwanini mwingine anaombewa hata baada ya kufa?

    Ukweli utaujua siku utakapokufa,na hutapewa mda wa kuwaambia wenzako sababu mda wako wa kuishi duniani utakuwa umekwisha,Siku utakapoulizwa kaburini Mungu wako nani?Dini yako dini
  5. K

    Mitume walikuwa wanaomba kuombewa na wafuasi kipindi wanafanya huduma. Kwanini mwingine anaombewa hata baada ya kufa?

    Hivi nyie mlioumbwa na Mwenyezi Mungu,siku mtakaporudi kwake halafu mkakutana naye,mkamwambia sisi hatukutambua siyo uliyotuumba,aliyeetuumba Yesu,mnategemea adhabu yenu itakuwaje?
  6. K

    Mitume walikuwa wanaomba kuombewa na wafuasi kipindi wanafanya huduma. Kwanini mwingine anaombewa hata baada ya kufa?

    Ukitaka kuangalia toka Mtume Ibrahimu,Nuhu,Musa,Yesu,Mpaka Mtume Muhamad na mitumee wengine wote walichokuwa wakihubiri ni kuhusu kutambua Mungu mmoja, Muumba wa vitu vyote,na wanaofwata hayo mafundisho ni Waisilamu peke yao. Ukienda upande mwingine ukataka kumuongezea Mungu mwingine...
  7. K

    Mitume walikuwa wanaomba kuombewa na wafuasi kipindi wanafanya huduma. Kwanini mwingine anaombewa hata baada ya kufa?

    Kwa hiyo tusimamie wapi,pale wanaposema Yesu Kwa hiyo tusimamie wapi wale wanaosema yesu ni mtume kama mitume wengine na ni kati ya viumbe vya mwenyezi Mungu,na Yupo Mungu mwenyewe ambaye hakuzaliwa wala hakuzaa hana mwanzo wala mwisho. Nakushauli soma Dini kwa akili yako usikubali...
  8. K

    Mitume walikuwa wanaomba kuombewa na wafuasi kipindi wanafanya huduma. Kwanini mwingine anaombewa hata baada ya kufa?

    Mbona Yesu alizariwa na akafa kwa hiyo moja kwa moja hana sifa ya kuitwa Mungu anabaki na sifa ya Utume kama mitume wengine
  9. K

    Mitume walikuwa wanaomba kuombewa na wafuasi kipindi wanafanya huduma. Kwanini mwingine anaombewa hata baada ya kufa?

    Kwa kukuongezea Mungu hakuzaliwa wala hakuzaa,wala hafi,Sasa nikuulize hizo sifa Yesu anazo?
  10. K

    Mitume walikuwa wanaomba kuombewa na wafuasi kipindi wanafanya huduma. Kwanini mwingine anaombewa hata baada ya kufa?

    Siku zote mkweli huongea kwa wema mtupu,Uisilamu ni alama ya upendo.Mungu akuzidishie elimu
Back
Top Bottom