Kaka recruitment kila mwaka is inevitable bcoz mamia wanastaafu every year which creates a void that needs to be filled with new blood. Recruitment inaweza ikachelewa tu, lakini ipo mwaka huu kama kawa.
Kuongezea tu hapo ni kwamba:
Siku ya siku njoo na mavazi yatakayoruhusu kukimbia easily coz kuna kukimbia sana, sometimes 4 a number of days.
Backpack itakuwa muafaka for certificate storage.
Njoo na maji yako ya kunywa au vijoti. (No body will give you water.)
Prepare 4 maudhi ambayo hujapata...
Mzeeya hizi story za jeshi watangaza leo, watatangaza kesho, watatangaza mwezi ujao nimeshazikia sanaa, and each time they were false. That's why I'm a bit sceptical.
Mdau I really hope your source is valid coz nimekuwa nasikilizia hizo nafasi za graduates since september 2011 mpaka leo hola. If you manage to confirm the news please share the knowledge with us. Mimi ni graduate wa juzi tu, nafikiri JWTZ patanifaa given a chance.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.