Rais wa Jamhuri ya Muungano anaamini katika kuwatumikia wananchi kwa uadilifu. Kwa nyakati tofauti Rais amesikika akipiga marufuku michango ya hovyo hovyo inayogeuka kero kwa wananchi.
Kwa ujasiri bila kuogopa, Mkuu wa Wilaya ya Tabora Manispaa anatenda kinyume.
Kuna viashiria vya ubadhirifu...
Baada ya kusajili kila aina ya mwana CCM basi waache woga,waruhusu ushindani,waruhusu mapambano jukwaani ili wananchi wasikilize hoja za upinzani
Sent using Jamii Forums mobile app
Pamoja na tambo na matusi ya Polepole dhidi yao lkn wamemuonesha Bashiru kuwa lazima awe na adabu kwa wakubwa.
Waliitwa kuhojiwa Dodoma, wamegoma kwenda CCM ikabadili venue kutii misimamo yao.
Kinana alipofika Baahiru aliishia kuamkia na baada ya hapo Kinana ndie kawahoji Bashiru na Mangula...
Wewe utakuwa umeanza kufuatilia siasa baada ya Musiba kuanziasha kipeperushi chake.
Kinana kaomba kujiuzuru kwa zaidi ya mara tatu,kila alipoomba aache ukatibu Mkuu ,chama kilikataa,angekuwa anaakili za takataka na mpenda pesa asingeomba kujiuzuru bila shinikizo lolote.
Kinana aliondoka wana...
CCM wanatakiwa kutambua kuwa sasa hivi kila simu inayo Camera,dunia imekuwa kijiji,ukijadili uovu ukiwa popote Dunia nzima itajua ,video za zile hate speech za Bungeni sasa hivi zipo mikononi mwa vyombo vya habari vya kimataifa,wafadhili wote wa Tanzania wapata kila kinachojadiliwa Bungeni na...
Ndugu wana JF, kila mmoja amesoma tamko la hasira la Marekani juu ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam ndugu Paul Makonda.
Kwa desturi za USA, mlengwa mkuu hapo ni Rais Magufuli na serikali yake, walichofanya ni kuipima serikali yetu itamfanya nini Makonda baada ya wao kutangazia Dunia kuwa...
Kwahiyo kama unakiri hakuna sheria iliyovunjwa,unadhani Ndugai na CCM wenzake watamshugulikia kwa sheria ipi wakati hata wewe mwandishi unakiri hakuna sheria iliyovunjwa?
Kwahiyo unakiri ni mwendelezo wa vitisho na kelele zenye lengo la kuwanyamanzisha wanaounga mkono maoni ya Zitto
Sent using...
Kwamba Zitto akiwa kiongozi wa chama cha ACT anaoteza sifa ya kuwa Mbunge?
Hakuna mipaka ya Ubunge wa Zitto ilimradi anachokifanya kipo ndani ya sheria.
Zitto shika hapohapo,hawana hoja mbadala ,sasa naona wanahaha na kudhani vitisho vitawasaidia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Zitto anayo IQ kubwa kudeal na watu wasiojali tena sheria na katiba yetu.
World Bank watakuwa wamezuia huo mkopo,kama wamezuia litakuwa jambo jema,wasubiri mpaka Rais mpya aingie madarakani mwezi Novemba ndio walete hizo pesa,sasa hivi fedha itaelekezwa kusaidia CCM kwenye uchaguzi,ukisikia...
Zitto Kabwe kaitendea haki Kigoma kwa kuwa Mbunge anaetetea maslahi ya watoto wa Kike bila kujali itikadi zao.
Hakika huyu ni Mbunge wa Mfano,Bunge linayomengi ya kuhoji kabla ya kumuhoji Zitto.
Bunge lihoji ujenzi wa Chato International Airport bajeti ilipitishwa wapi?
Bunge lihoji...
Karugutu anapenda rushwa? Wewe humjui Karugutu na madai yako yatakosa nguvu.
Unaanzaje kujadiliana kuhusu rushwa na Karugutu,unaanzaje?
Karugutu ni Mkuu Wa Idara karibu miaka 10 lkn Hana hata Gari ya kutembelea,hata Gari la ofisi huwa hatumii kama haendi mashuleni,huyo jamaa yupo kizamani sana...
Wewe ulieandika kuhusu karugutu hujajitendea haki,namjua vizuri Zuberi Karugutu,ni MTU Wa principle Ana nisimamo mikali.
Kwa wilaya iliyopo nyuma kitaaluma kama uyui inahitaji mtu Wa misimamo na asieyumbishwa.
Walimubkila siku kwenda Ofisibza Elimu ukiwauliza kufanya nini hawaeleweki.
Kama...
Wewe Elia unapata wapi mamlaka ya kumsemea Mh Rais,hotuba yake mbona ipo mtandao Wa YOUTUBE?
Unaweza kumjibu Zitto Kabwe kwa hoja zingine,sio kukanusha alichokisema Rais Magufuli .
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.