Kifupi hii ni test kwa nchi kwa kile tulichojivunia miaka mingi ya kuwa tunalinda sana nchi yetu. Kufeli kwa cdm itakuwa mwanzo mpya na hii itawafanya maadui wa nchi kujua thamani yetu na watatununua wote..haingii akilini kwa namna yeyote kiongozi wako hata kama kakukosea vipi yupo katika hali...
Sidhani...maana tl hawezi kucompromise kama mb na unajaua siasa ni namna ya kuwashirikisha watu waone kama wana maamuzi..ningeweza kuwashauri ni kuweka influence sawa kwenye vyama vyote ili gvt machinery iweze kucontrol huku maslahi ya taifa yakilindwa. Kwa sasa kuna loope hole kubwa sana ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.