Recent content by Kiduhamad

  1. K

    SoC03 Tukiyatunza mazingira yatatutunza lakini tukiyaharibu yatatuharibu!

    Mazingira ni eneo lote wanamokaa viumbe, akiwemo mwanadamu pamoja na viumbe visivyo na uhai. Viumbe hai hivi pamoja na vile visivyo uhai hutegemeana ama kwa njia chanya au hasi. Katika kupigania kwao maisha, ama kwa makusudi au bila makusudi huyaboresha mazingira na kuwaletea ustawi au huychafua...
Back
Top Bottom