salaam sana wana jf!. Kwa jina naitwa kidaudau. Naomba kuungana na wadau wa bidhaa ya kuni.
Nauza kuni za miti ya mitiki, tani 3 kwa shs 200,000/= tu za kitanzania pamoja na kibali. Kuni zipo Boko temboni, 2kilometers kutoka hospitali ya tumbi kibaha pwani. Kuni zipo nyingi zaidi ya tani 30...