Broh wew umemjua?? Hii niliyoiandika ni fursa. Kuna watoto wa mashekhe na wachungaji humu ambao hawana ajira na hawajui kwa kuanzia. Kupitia uzi huu wanaweza kupata kwa kuanzia
Kila sehemu kuna upenyo huo. Hakuna taasisi nyeti isiyo na watoto w viongozi wa kisiasa, kidini au kijeshi. Lakini pia tusilaumu sana labda wanaangalia maswala ya genes.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.