Recent content by kida320

  1. K

    Ipi ni kampuni nzuri ya kusafirisha mizigo toka China kuja Tanzania?

    Nnachotaka kujua ni kuwa inshu zote za bandarini wanasimamia wao na mzigo wa looser cargo unachukua siku ngapi hadi kugika Tz na Kama utakuwa na ya kuongezea sawa
  2. K

    Ipi ni kampuni nzuri ya kusafirisha mizigo toka China kuja Tanzania?

    Jamani kwa wale wajasiliamali na wapambanaji hasa wanaoaguza mizigo kutoka china kuja Tanzania ni kampuni ipi ni nzuri kusafilishia mizigo kwa njia ya ndege na bahari. Wawe waaminifu
Back
Top Bottom