nitapumzika nikifa kaka, sema aliapply ya jeshi kipindi anasubiria majibu ya utumishi sasa amechaguliwa utumishi ko anataka kujua kama ataruhusiwa jeshini
Habari ze wanaJF,
Naomba kuuliza je ukishakuwa mtumishi wa umma na una CHQ number, je inawezekana kuomba nafasi za kujitolea kwenye jeshi la ulinzi na usalama na ukachaguliwa.
Kwa story nilizoziskia ni kwamba hata ukichaguliwa baadae watakuchuja kwa sababu tayari unakuwa una CHQ number so...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.