ila mpaka sasa hujaweza ku prove huo uchochezi
labda nikusaidie, nukuu kwenye kitabu cha mzee Mohamed Said, na utoe citation na useme "hapa mzee Mohamed Said umechochea"
mwezi mzima and you could not figure that out.
kama anavosema Ritz, wewe ni mtupu hujui lolote
haya...
Ndo ninasema, huwezi kutaja LIverpool imezaliwa vipi pasipo na kutaja Everton
Huwezi kuanza na TANU pasipo kujua imeanzaje, i.e. TAA
...anza na mtiririko huu kaka
Sasa kaka hapa utakua unakosea kaka
Mfano, ukiulizwa Liverpool FC imeanzia wapi? Utalipunja jibu kama hutotaja Everton FC, waasisi wake mwaka Everton ulioasisiwa, key people mpaka Everton inasimama, mpaka dispute yao na Liverpool
Kaka,
Kama mzee Mohamed Said kakosea kuwataja wazee wake waliopigania uhuru, basi ataomba msamaha.
Lakini kama si kosa, anayo haki ya kuandika na kusema.
Mna contradict kudhani kuwa Mohamed Said anasema kuwa wazee wake peke yake ndo wamepigania uhuru.
Wazee wake had a part to play...
Sawa tujaalie alikua si wa size yake! (But huko nyuma, mlimtuhumu mzee Mohamed Said kuwa anawasemea walokufa)
But,
15 years down the line, "tuhuma" za mzee Mohamed Said kwa Nyerere, hazijapatiwa majibu, critique ya kimaandishi (kwa maana ya kitabu, journal articles and the like), huoni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.