Baada ya Tanzania kutangazwa Rasmi na Bank ya Dunia kufikia Uchumi wa Kati Julai 1st,2020 miongoni mwa Nchi zilizofikia Uchumi huo,Dniani kote imekuwa gumzo kwa pongezi. Sifa zote zimekwenda kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Rais JOHN POMBE MAGUFULI kwa hatua hiyo kubwa ya...
Kwani Tanzania ndio imeiambia Bank ya Dunian isiitangaze Kenya?wenyewe ndio wanaona wana Hesabu zao ambazo zikiwa sawa ndio Nchi inastahili kutangazwa,labda kuna sheria imeiangusha unajuaje?au kawaulize Wahusika wa Bank ya Dunia
JPM anawanyoosha wala Rushwa wahujum Uchumi ambao walikuwa wanaifanya Tanzania iwe Dampo,sasa wanasaga meno,hatakama wapo wapigaji kwasababu tunajua hawaishagi ila wamepungua kwa kiwango kikubwa
Huyo ni mpuuzi hasaaa hajielewi,kwanini isingetangazwa basi,aache ujinga huyo, JPM kaiokoa Tanzania Kiuchumi tulikuwa tunadidimia,walaji wakuwa wachache huku wengi wakifa njaa,angalia sasa kama kuna nyumba za starehe zinajaa watu,ukiona mtu anachezea fedha jua kazipata kimteremko kwahiyo hana...
Hongera JPM nisahihi kaipigania Tanzania sana, wamiliki wakubwa wa Biashara walikuwa wanakwepa kodi kwahiyo kujitoa KWAKE nizaidi ya Utu,wengine walikuwa wanahofia kuwagusa wakijua labda Wanaweza kugoma nakuleta mizozo,lakini JPM kathubutu watakatishaji fedha leo wapo Magerezani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.