Njoo Mahenge mkoa wa Morogoro yeye aje Wilaya Mvomero,Morogoro mjini, na Wilaya ya Kilombero sehemu yoyote ile iwe( Mlimba, masagati,utengule au sehemu yoyote ile). Idara secondary,aliye tayari apige 0683506211
WAKUJA WILAYA YA ULANGA/MAHENGE YEYE AENDE WILAYA YA KILOMBERO SEHEMU YOYOTE ILE,IFAKARA MJI AU MOROGORO MJINI. IDARA ELIMU SEKONDARI. Aliye tayari ampigia au atume sms kwa namba hii 0683506211
Kuna jamaa yupo Mahenge mkoa WA morogoro anahitaji kwenda mvomero,korogwe,tanga mjini au Arusha(karatu,monduli,arumeru,au arusha jiji).idara elimu sekondari.mawasiliano kwa aliye tayari ni 0623346083
JAMANI WAKUJA MAHENGE MKOANI MOROGORO MIMI NIENDE MIKOA YA ARUSHA,KILIMANJARO,MANYARA NA TANGA ,NJOMBE,SONGEA,MBEYA.KATIKA MIKOA HIYO WILAYA YOYOTE NIPO TAYARI KUJA.MIMI NI MWALIMU SEKONDARI.ULIYE TAYARI TUWASILIANE KWA 0652040227
Naomba msaada mwenye kujua hili no tatizo gani na tiba yake in nini? Nina matatizo ya kuuma kichwa upande mmoja Lina kama mwaka hivi, kinauma then kinaacha,sasa katika.
Siku hizi za karibuni nikiwa na mafua kamasi za tundu moja la pua ambalo lipo upande ambao kichwa kinauma zinakuwa...
Msaada:nasumbuliwa na maumivu ya kichwa upande mmoja na nikiwa na Mafua tundu la pua lililopo upande ule wa kichwa wenye maumivu makamasi yanayotoka yanachanganyika na damu.naomba mwenye kujua hili ni tatizo gani?
Ninasumbuliwa na maumivu ya kichwa upande mmoja na nikiwa na Mafua ule upande wenye maumivu unatoa makamasi yenye mchanganyiko na damu ila tundu lingine la pua halitoi damu.naomba madaktari mnisaidie hili tatizo gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.