Recent content by Kiche Jr

  1. K

    SoC02 Mfumo wa utoaji huduma za afya uanzie kwenye ngazi ya familia ili kupunguza vifo vitokanavyo na magonjwa yasiyo ambukizwa

    Asante sana Jiwe kwa ushauri wako, Ukisoma mapendekezo yangu Katika kipengere cha pili Nimependekeza namna ya kuipata task force ambayo itahudumu kuanzia kwenye ngazi ya familia ambapo ndipo chimbuko la magonjwa haya, Jiwe Tatizo la nchi yetu siyo kwamba hatuna Approaches za kupambana na...
  2. K

    SoC02 Mfumo wa utoaji huduma za afya uanzie kwenye ngazi ya familia ili kupunguza vifo vitokanavyo na magonjwa yasiyo ambukizwa

    Magonjwa yasiyo ya kuambukizwa ni magonjwa ambayo hayasambazwi kwa mtu mwingine kwa kuwa hayana vimelea vinavyohusiana na magonjwa hayo, magonjwa hayo ni Kisukari, Pumu, Selimundu, Saratani, Magonjwa ya Akili, Magonjwa ya Figo, Magonjwa ya Moyo mfano shinikizo la damu na kiharusi. Kutokana...
  3. K

    SoC02 Tufuge nyuki kwa maendeleo endelevu na tuwalinde kwa wivu mkubwa

    Safi sana Kamanda andiko limejaa virutubisho vyote
Back
Top Bottom