Asante sana Jiwe kwa ushauri wako, Ukisoma mapendekezo yangu Katika kipengere cha pili Nimependekeza namna ya kuipata task force ambayo itahudumu kuanzia kwenye ngazi ya familia ambapo ndipo chimbuko la magonjwa haya,
Jiwe Tatizo la nchi yetu siyo kwamba hatuna Approaches za kupambana na...
Magonjwa yasiyo ya kuambukizwa ni magonjwa ambayo hayasambazwi kwa mtu mwingine kwa kuwa hayana vimelea vinavyohusiana na magonjwa hayo, magonjwa hayo ni Kisukari, Pumu, Selimundu, Saratani, Magonjwa ya Akili, Magonjwa ya Figo, Magonjwa ya Moyo mfano shinikizo la damu na kiharusi. Kutokana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.