Recent content by kibokilimani

  1. K

    Askofu Gwajima: Mbunge smart kuwahi kutokea katika Bunge la Tanzania

    Gwajima mtu makini sana hakika kiongozi tumepata.
  2. K

    GE2020 Halima Mdee: Natuhumiwa kumchonganisha Gwajima na madhehebu mengine na waumini wake

    Ndio uliyokuwa unayataka ayo ungenadi Sera kwenye kampeni zako yasingekukuta haya umelipata ulilokuwa unalitafuta. Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
  3. K

    GE2020 CCM inatumia muda mwingi kumsafisha Gwajima lakini hasafishiki

    Wewe wa wapi kwa akili yako ndogo unaona ivyo, Gwajima tunamkubali kawe hiyo iko waziwazi Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
  4. K

    GE2020 Dkt. Magufuli: Gwajima anachukiwa sana kwa sababu ni mkweli sana. Je, ukweli wake ni upi?

    Gwajima ni jasiri ,kawe tunamuitaji sana Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
  5. K

    GE2020 Gwajima hafai kuwa mbunge, bora kupigia kura kinyago

    Umesema wewe lakini sisi wanakawe msimamo wetu uko palepale Gwajima ndiye mbunge tunayemuitaji kwenye jimbo letu. Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
  6. K

    GE2020 Gwajima hafai kuwa mbunge, bora kupigia kura kinyago

    Kunawatu wanastupid mind kwa kuwa very selfish yani kwasababu ya ushabiki wake wavyama na kutojua kilichojiri na ushabiki feki wanachoche kumchagua MTU ambaye miaka 15 hajaleta maendekeo achani kujali masilahi yenu wabinafsi. Chukua na hiyo apo chini upate majibu na utulizane.
  7. K

    GE2020 Kawe: Halima Mdee alalamikiwa kukiuka maadili ya uchaguzi kwa kutumia lugha ya matusi na kashfa

    Nani kakwambia uyo bibi yenu ndiye aliyeishiwa sera amebaki kutukana tu na bado safari hii ataambulia patupu Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
  8. K

    GE2020 Kawe: Halima Mdee alalamikiwa kukiuka maadili ya uchaguzi kwa kutumia lugha ya matusi na kashfa

    Chokora ni wewe kwa taarifa yako wanakawe atutaki ata kumsikia uyo halima awamu hii tunabadilisha upepo Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
  9. K

    GE2020 Kawe: Halima Mdee alalamikiwa kukiuka maadili ya uchaguzi kwa kutumia lugha ya matusi na kashfa

    Uyu halima ndio kazi anayojua anashindwa kunadi sera anakalia kumtukana mgombea mwenza na ndicho kilichokuwa kinaendelea miaka kumi anashindwa kuleta maendeleo kwenye jimbo letu amekalia uchochezi amezidi sana uyu mbibi sisi wanakawe tumeshamchoka tunakwenda kufanya mabadiliko. Sent from my...
  10. K

    GE2020 Kawe ina heshima tayari, inahitaji maendeleo

    Aisee wewe kweli Kilaza aukai kawe ndio maana unalopoka tu umu sisi tunaokaa kawe ndio tunajua kuwa halima atufai Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
  11. K

    GE2020 Kawe ina heshima tayari, inahitaji maendeleo

    Kawe tunataka maendeleo na wa kuyaleta ni Gwajima awamu hii tunakwenda na Gwajima Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
  12. K

    Gwajima Unakumbuka hii? Ngoja nawe Ukerwe utie akili

    Oya wewe mbona hujitambui atuchagui dini tunachagua mtu atakayetuletea maendeleo na kuwakilisha kero zetu bungeni wanakawe hatudanganyiki na polojo zako tutamchagua Gwajima ije mvua lije jua sisi ni Gwajima tu ndiye tunamtaka Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
  13. K

    GE2020 Wana Kawe kataeni mateso mengine ya miaka 5

    Wewe mla mbuzi itakaa poa sana au sio! Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
  14. K

    GE2020 Wana Kawe kataeni mateso mengine ya miaka 5

    Kura yangu ni kwa Gwajima Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom