Recent content by kibigolo10

  1. K

    Inakuwaje majina ya kusaini mkopo yanakuja chuo wengine hatupo?

    Aise mi mwenyewe nipo mwaka wa kwanza ruco jna cjaliona asa nilikua nafikiria iweje bodi watoe majina then kwenye kusain wanayaleta nusu tena mi hata cjui hatma yangu
  2. K

    Ushauri TCU Transfer

    Thanx wakuu for informing me
  3. K

    Ushauri TCU Transfer

    Jaman wana jamii forum naomben msaada ni hivi mm nmeghairi na hizo transfer za tcu maana zmekuja late na huku chuon wamening'ang'ania. So itakua na madhara nikiacha? Naomben
  4. K

    Ushauri please wanajamii

    Nmechaguliwa bachelor of computer science in software engineering. Je inatofaut gan na bachelor of computer science in information system? Je soko lake la ajira likoje? Na kama vp au nihamie hiyo ya information yaan mpaka naumwa
Back
Top Bottom