Aise mi mwenyewe nipo mwaka wa kwanza ruco jna cjaliona asa nilikua nafikiria iweje bodi watoe majina then kwenye kusain wanayaleta nusu tena mi hata cjui hatma yangu
Jaman wana jamii forum naomben msaada ni hivi mm nmeghairi na hizo transfer za tcu maana zmekuja late na huku chuon wamening'ang'ania. So itakua na madhara nikiacha? Naomben
Nmechaguliwa bachelor of computer science in software engineering. Je inatofaut gan na bachelor of computer science in information system? Je soko lake la ajira likoje? Na kama vp au nihamie hiyo ya information yaan mpaka naumwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.