Recent content by KIBEBENYEKE

  1. KIBEBENYEKE

    Je, naweza kuomba chuo tena baada ya kumaliza mosomo kama mwaka wa kwanza?

    Hata kama sijawahi kupata mkopo kwenye degree ya kwanza niliyosoma je yapili siwezi kupata mkopo pia nikiomba
  2. KIBEBENYEKE

    Je, tunaweza kutumia cheti kimoja cha kifo kuombea mkopo?

    Baba mlezi amefariki ila sisi tupo wawili yaani mimi na mwanaye wa kumzaa; wote tunaomba mkopo wa elimu ya juu. Je, sote tunaweza kutumia cheti kimoja cha kifo kuombea mkopo?
  3. KIBEBENYEKE

    Nimemaliza kidato cha sita mwaka 2020 ila sijachukua cheti changu cha shule nahitaji kuomba mkopo je natakubaliwa bila kuambatanisha cheti hicho

    Nimemaliza kidato cha sita mwaka 2020 nahitaji kuomba mkopo mwaka huu je nitakubaliwa bila kuambatanisha cheti changu cha kidato cha sita maana shule niliyotoka nadaiwa ada.
  4. KIBEBENYEKE

    Je, naweza kuomba chuo tena baada ya kumaliza mosomo kama mwaka wa kwanza?

    Naumba ushauri ndugu zangu mm nasoma chuo kikuu ila nipo mwaka wa mwisho na semester ya mwisho je naweza kuomba tena chuo kwa kozi nyengine kama mwaka wa kwanza na baada ya kumaliza semester hii kukubaliwa kuendelea na kozi nyingeni kwa mwaka huu mpya wa masomo uko Bado sijagraduenti.
Back
Top Bottom